Picha: Muonekano wa Mto Ruvuma kutokea angani

Mto Ruvuma  ni mto mrefu wa   Tanzania . Chanzo chake iko mashariki ya   Songea   katika milima ya Matagoro upande wa mashariki mwa   Ziwa ... thumbnail 1 summary
Mto Ruvuma ni mto mrefu wa Tanzania. Chanzo chake iko mashariki ya Songea katika milima ya Matagoro upande wa mashariki mwa Ziwa Nyasa. Inaelekea magharibi kati ya vilima kwenye kimo cha 1000 m karibu na Songea inageukia kusini. Mdomo uko Bahari ya Hindi kati ya Mtwara (Tanzania) na Rasi ya Delgado (Msumbiji).


Kwa utangulizi huo sasa niruhusu nikuonyeshe picha za mto huo unavyoonekana kutoka angani


Asante sana PAM kwa picha hizi