Picha: Mpiga picha aonja joto ya jiwe baada ya chui kurukia juu ya gari lake, unajua nini kilichofuata?

Mpiga picha za wanyamapori amejikuta katika wakati mgumu baada ya chui kupanda juu ya Land rover aliyokuwa amepanda. Sergey Kotelnikov ... thumbnail 1 summary
Mpiga picha za wanyamapori amejikuta katika wakati mgumu baada ya chui kupanda juu ya Land rover aliyokuwa amepanda.

Sergey Kotelnikov alishtuka sana na kuonekana mwenye uoga mwigi baada ya mnyama huyo kuruka juu ya gari lake wakati akiwa kwenye safari ya kitalii mpakani mwa Namibia na Botswana.

Lakini cha ajabu chui yule hakuwa na madhara maana baada ya kupanda juu ya gari aliketi na kupiga posi kana kwamba anamwambia mpiga picha huyo "Nipige picha basi"

Na baadae yeye na wapiga picha wengine waliungana na kuanza kucheza na chui yule, ama kweli animal loves human though human do not love them.

Pata mlolongo wa tukio hilo la kusisimua

Shock and awe: Fear is etched on the face of photographer Sergey Kotelnikov as the young leopard leaps on to the roof of his vehicle

Hapo anajibaraguza, full uoga na sala za kufa mtu, najua hapa mungu alikuwa bize sana kupokea sala zake
Just curious: The leopard settles down for a closer look as the photographer's expression turns to amazement
Uuuh! mpiga picha anashusha pumzi baada ya chui kuweka posi akitaka kupigwa picha in a proper way.
Shock: The Russian photographer has a panic as the leopard jumps up on to his Jeep
Just a pussy cat: The leopard just wanted to pose for the camera and did not attack the Russian photographers

Playtime, but it's a bit rough: The leopard attacks Mr Kotelnikov's camera bag. His camera was broken during the episode
Playtime, umemaliza kunipiga picha sasa ngoja nikufundishe michezo yetu ya mwituni

Tussle: The leopard eventually let go, leaving the Russians with bruises, and some extraordinary photograph
Mama yake chui huyu akitokea hapo sijui itakuwaje
Abundant wildlife: Tourists from all over the world travel to Namibia to go on safari
Hakika kusafiri ni kujifunza, kuna mengi yanatokea hata katika hifadhi zetu hapa nchini Tanzania, tutembelee maeneo haya ili kujifunza mengi. Picha na Caters News Agency