WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 06/11/2013.
[Mikoa ya Kagera, Mara na
Mwanza ]:
[Mikoa ya Kigoma, Rukwa na Shinyanga]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mkoa wa Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi na mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya
Dar-Es-Salaam na Pwani]:
[Mkoa wa Morogoro
(Kaskazini)]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dodoma na
Singida]:
[Mikoa ya Ruvuma na
Tabora]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
[Mikoa ya Iringa na Mbeya]:
[Mkoa wa Morogoro
(Kusini)]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
27°C
|
16°C
|
12:13
|
12:22
|
D'SALAAM
|
31°C
|
23°C
|
11:58
|
12:15
|
DODOMA
|
31°C
|
20°C
|
12:13
|
12:29
|
KIGOMA
|
29°C
|
22°C
|
12:38
|
12:51
|
MBEYA
|
27°C
|
11°C
|
12:18
|
12:41
|
MWANZA
|
30°C
|
18°C
|
12:28
|
12:35
|
TABORA
|
34°C
|
16°C
|
12:26
|
12:39
|
TANGA |
30°C
|
23°C
|
12:01
|
12:14
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
23°C
|
11:58
|
12:15
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini kwa kasi ya km
30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini
na kutoka
Mashariki kwa kasi ya km 20
kwa saa kwa Pwani ya
Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Ijumaa:
08/11/2013: Mabadiliko kidogo
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 06/11/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.