WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 28/03/2014.
[Mikoa
ya Mara, Mwanza, Kagera, Shinyanga na Lindi]:
[Mikoa
ya Mtwara, Ruvuma Mbeya, Iringa na
Rukwa]:
[Mikoa ya Tanga, Pwani ,
Dar es salaam na Morogoro ]:
[Visiwa
vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo katika maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa
ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Singida na
Dodoma]:
[Mikoa ya Tabora na
Kigoma]:
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
ANGALIZO
- VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO YA UKANDA WA ZIWA VICTORIA, MWAMBAO WOTE WA PWANI, NYANDA ZA JUU KUSINI MASHARIKI NA NYANDA ZA JUU KASKAZINI MASHARIKI.
- UPEPO MKALI KWA VIPINDI VIFUPI UNAOFIKIA KM 30-40 KWA SAA UNATARAJIWA KATIKA BAADHI MAENEO YA UKANDA WA PWANI. TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
26°C
|
16°C
|
12:39
|
12:44
|
D'SALAAM
|
32°C
|
23°C
|
12:28
|
12:33
|
DODOMA
|
29°C
|
17°C
|
12:42
|
12:47
|
KIGOMA
|
28°C
|
21°C
|
01:06
|
01:11
|
MBEYA
|
24°C
|
15°C
|
12:51
|
12:56
|
MWANZA
|
28°C
|
18°C
|
12:53
|
12:58
|
TABORA
|
29°C
|
18°C
|
12:54
|
12:59
|
TANGA |
32°C
|
24°C
|
12:29
|
12:34
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
23°C
|
12:28
|
12:33
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kaskazini-
Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya
Kaskazini na
kutoka Kaskazini- Magharibi kwa kasi ya km 30-40 kwa saa kwa
Pwani ya Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Madogo.
Matazamio kwa siku ya Jumapili:
30/03/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe 28/03/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.