WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 30/03/2014.
[Mikoa ya Ruvuma ,Mbeya,
Iringa na Rukwa]:
[Mikoa
ya Tanga, Pwani na Dar es salaam]:
[Mikoa
ya Lindi, Morogoro na Mtwara,]:
[Visiwa
vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Singida na
Dodoma]:
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo katika maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa
ya Mara, Mwanza, Kagera, Shinyanga]:
[Mikoa
ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa
ya Tabora na Kigoma]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
TAHADHARI
VIPINDI VIFUPI VYA MVUA
KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO YA MIKOA YA RUVUMA, MOROGORO, DODOMA,
SINGIDA UKANDA WOTE WA PWANI NA NYANDA
ZA JUU KUSINI MAGHARIBI ,
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
27°C
|
18°C
|
12:39
|
12:44
|
D'SALAAM
|
30°C
|
24°C
|
12:28
|
12:33
|
DODOMA
|
28°C
|
18°C
|
12:42
|
12:47
|
KIGOMA
|
28°C
|
21°C
|
01:06
|
01:11
|
MBEYA
|
26°C
|
15°C
|
12:51
|
12:56
|
MWANZA
|
28°C
|
19°C
|
12:53
|
12:58
|
TABORA
|
28°C
|
19°C
|
12:54
|
12:59
|
TANGA |
33°C
|
25°C
|
12:29
|
12:34
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
25°C
|
12:28
|
12:33
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kaskazini-
Mashariki kwa kasi ya km 10 kwa saa kwa Pwani ya
Kaskazini na
kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi ya km 10 kwa saa kwa Pwani ya
Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Madogo madogo.
Matazamio kwa siku ya Jumanne:
1/04/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe 30/03/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.