WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 30/06/2015.
[Mikoa ya Mara na Kagera]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Lindi, Morogoro,
Tanga, Dar es Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kilimanjaro, Manyara
na Arusha]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa na
Njombe]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Tabora, Rukwa na
Katavi]:
[Mikoa ya Kigoma, Dodoma, Singida,
Mtwara na Ruvuma]:
[Mikoa ya Mwanza, Geita na
Shinyanga]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
26°C
|
16°C
|
12:41
|
12:35
|
D'SALAAM
|
29°C
|
23°C
|
12:36
|
12:18
|
DODOMA
|
27°C
|
18°C
|
12:48
|
12:34
|
KIGOMA
|
29°C
|
19°C
|
01:11
|
12:59
|
MBEYA
|
21°C
|
06°C
|
01:03
|
12:37
|
MWANZA
|
27°C
|
18°C
|
12:53
|
12:50
|
TABORA
|
30°C
|
17°C
|
12:59
|
12:47
|
TANGA |
29°C
|
22°C
|
12:34
|
12:22
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
23°C
|
12:36
|
12:18
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi
ya km 30 kwa saa kwa
Pwani yote
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Alhamisi:
02/07/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 30/06/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.