Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akikagua vifaa vya kukamu asali baada ya kufungua
maonyesho ya mazao ya asali kwenye uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Julius
Nyerere jijini Dae sa salaam Oktoba 5, 2012 kulia kwake ni Waziri wa
Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda kifurahia asali wakati alipotembelea Banda la
Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema baada ya kufungua maonyesho ya
kwanza ya Kitaifa ya mazao ya nyuki kwenye uwanja wa maonyesho wa
Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam Octoba 5, 2012. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)