WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 27/10/2013.
[Mikoa ya Mwanza, Kagera,
Mara na Kigoma]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
[Mkoa ya Dar-Es-Salaam,
Pwani na Tanga]:
[Mikoa ya Ruvuma na
Morogoro]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dodoma,
Shinyanga, Singida na Tabora]: [Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Rukwa, Lindi na
Mtwara]:
[Mikoa ya Iringa na Mbeya]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
29°C
|
17°C
|
12:13
|
12:23
|
D'SALAAM
|
32°C
|
21°C
|
11:59
|
12:15
|
DODOMA
|
30°C
|
18°C
|
12:14
|
12:29
|
KIGOMA
|
31°C
|
20°C
|
12:39
|
12:52
|
MBEYA
|
28°C
|
14°C
|
12:21
|
12:39
|
MWANZA
|
30°C
|
18°C
|
12:28
|
12:36
|
TABORA
|
34°C
|
21°C
|
12:27
|
12:40
|
TANGA |
30°C
|
23°C
|
12:02
|
12:15
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
22°C
|
11:59
|
12:15
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi
ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya
Kaskazini na kutoka
Kaskazini-Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumanne:
29/10/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 27/10/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.