Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava (kushoto) akifungua rasmi
mafunzo
yanayowakutanisha wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya
Makamu wa Rais – Mazingira na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yanayoendelea mjini
Morogoro. Aliyekaa upande wa kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa
Mazingira kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Gidion Kasege.
Mmoja wa
wawezeshaji Profesa Pius Yanda kutoka Kituo cha Taaluma ya Mabadiliko ya
Tabianchi kilichopo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akiwasilisha mada
wakati wa mafunzo hayo
Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia kwa
makini mada zilizokuwa zinawasilishwa na wawezeshaji kwa nyakati tofauti
tofauti.